Unapohisi umemchoka mpenzi wako.

Husninyo

JF-Expert Member
Oct 24, 2010
23,723
9,189
Salamu kwenu wadau wote wa stress-free forum (mmu),
kuna kipindi huwa tunahisi kuwachoka wake/waume au wapenzi wetu.
Inasemekana kuwa katika kila mwaka lazima uexperience hiyo hali lakini huwa haidumu muda mrefu.
Katika hicho kipindi mpenzi wako hata afanye jambo zuri huwa unahisi anakuboa yaani humfurahii na ni kipindi hicho ambacho uhusiano ni rahisi kuvunjika iwapo mmoja hatakuwa imara kuusimamia na mara nyingi kipindi hicho mpango wa kando hutafutwa.
Nafikiri wadau wote humu tushawahi kuwa na wapenzi/tunao/tumeoa au tumeolewa.
Naombeni mawazo yenu hapo.
Je ulipohisi kumchoka mpenzi wako ulifanya?
 
Unachoweza kufanya ni kuweka distance kidogo ili usione anakuboa muda wote maana utakapozidi kumsukuma itafika mahali na yeye ataboreka alafu kila kitu kiharibike....which is not good!!!
 
Hiyo kweli kabisa Hus. Kulala kila 24/7 inachosha bana uvumilivu tu ndo hutakiwa.
Tuna afadhali kidogo angalau tunasafiri safiri vijijini inapunguza maudhi
 
vipi kwa wale wanandoa.

Unapendekeza wapeane likizo?
Ni vizuri katika hali kama hiyo kuvumiliana maana ukimu-ignore mwenzi wako ndio mwanzo wa kuanza kutafuta mambo mengine na visingizio kadha wa kadha jaribu kutafuta vacation somewhere pamoja na yeye au outing somewhere outside the city
 
nijilazimishe kuvumilia huku naona nafsi haifurahi?
Sio kujilazimisha kuvumilia hiyo inakuja pamoja na nyie wawili kukaa chini na kumueleza mwenzake what are you feeling at that time kama ni muelewa atakuelewa vizuri ukikaa kimya tu hata kama ni mimi sitokuelewa its good to tell each other if your not in the mood or your not okay itamsaidia mwenzako walau atajitahidi kutafuta something that will cheer you up.
 
According to facebook status updates, break ups happen mostly around spring breaks and the months leading up to Christmas.

chart-of-the-day-facebook-status-updates-2010.jpg
 
Sio kujilazimisha kuvumilia hiyo inakuja pamoja na nyie wawili kukaa chini na kumueleza mwenzake what are you feeling at that time kama ni muelewa atakuelewa vizuri ukikaa kimya tu hata kama ni mimi sitokuelewa its good to tell each other if your not in the mood or your not okay itamsaidia mwenzako walau atajitahidi kutafuta something that will cheer you up.

nimekusoma TF.
 
Kitu muhimu kama unatambua hiyo hali, cha kwanza kabisa na muhimu ni KUVUMILIA kwa kuwa unatambua kuwa hiyo hali hiyo ni ya muda tu na itaisha. Lakini kwenda sehemu tofauti kabisa ikiwezekana hata nje ya mji, mkoa n.k, itasaidia, kufanya jambo tofauti kabisa na kujiepusha na ugomvi usio na maana kutasaidia. Narudia kusisitiza kuwa muhimu ni kutambua kuwa ile hali ni ya kupita. Mara nyingine hata tunapoumwa na magonjwa au maumivu mengine, tunategemea tutapona kwa hiyo tunavumilia tu. Na ndiyo maisha, sio mara zote utakuwa mwenye furaha. Kuna siku tutakuwa tofauti, inakubalika.
 
Huwa najitahidi kwa kila Hali kuiepuka,naikitokea naweka mambo sawa muda huohuo. Ila kwa wanaume hili ni gumu na ndio husababisha kipindi hike kutokea kwani ni wazito kusawazisha mambo au huligeuza kosa kwa mwanamke na hapo ndipo kipindi kigumu hutokea.
 
siweki neno kwenye hii sredi.

KUMCHOKA?looh !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! sasa si ujaribu pembeni!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!hapa mnaleta utani wandugu
 
ni vipi utaenjoy wakati ushamchoka?
Sometimes mazingira pia yanachangia just imagine kila siku unaamka asubuhi unaeenda kazini unarudi jioni unakula unaangalia TV unaenda kulala, the next day same routine karibia mwaka mzima hamujawahi kwenda mbali zaidi ya hiyo nyumba mnayoishi zaidi ya kwenye harusi na kumbi starehe which is the same routine ya weekend.

If you decide to go out of the city a place where it is quite mkabadilisha mazingira it helps siku mkirudi nyumbani mnakuwa fresh inakuwa as if mmekutana jana but all this it depends watu na watu kuna wengine wagumu kama TANGA CEMENT
 
ukimchoka unaenda kwa kidumu unapunguza stress then unarudi kwako mambo yanakuwa sadwata!
 
Tujifunze kuwa wavumilivu na jinsi gani ya kuepuka hali kama hiyo ikikukuta
 
Dah,
Nahisi ikinitokea nitatafuta safari niende nikae wiki halafu nirudi,
Sema ndo mpaka hiyo safari ieleweke ni safari ya jinsi gani, manake unawenza ukaliazisha lingine.
 
Back
Top Bottom