Unapoambiwa na mwanamke kama unaniacha we niache tu we unaelewaje?

Saa nyingine ni hasira tu na hamna anachomaanisha we subiri hasira zimuishe ndipo utajua mbichi na mbivu.

Angekujibu ikiwa hamna mtafaruku hapo walau ungeweza kuhukumu kwa %100
Nilichoamua japo nampenda sana..... nampotezea kwa mda, endapo nayeye akikaza ubongo itakuwa ndo bye-bye
 
Itakuwa mna ugomvi wa muda mrefu, labda ungetupa chanzo cha ugomvi wetu inaweza kuwa wewe ndiyo mwenye kosa alafu unataka ushindi...
Chanzo cha ugomvi ni kwamba kuna katabia fulani anacho basi, nikaamua kumshauri kwa upole tu lakini mwisho wake mambo yamekuja kuwa makubwa.
 
Leo kumetokea kutokuelewana kati yangu na mchumba angu na mwisho ikafikia hatua akanitumia sms kama utaamua kuniacha powa tu niache.

Kwa wanaume wenzangu naombeni ushauri wenu, huyu anamaana gani kunitamkia hivyo?
Hapo kuna ugumu kidogo kupata jibu la moja kwa moja kwa sababu kuna matukio ya nyuma umeyaficha.
Hujasema mligombana kwa chanzo gani?na mlianza kugombana mwaka gani?
Kabla hujanijibu hayo maswali kwa haraka haraka tu inaonekana huyo mwanamke amekuchoka kutokana na tabia fulani au kama hajakuchoka basi alikubali kukaa na wewe kwa sababu ya shuda fulani ila hajaridhika kuwa na wewe.
 
Leo kumetokea kutokuelewana kati yangu na mchumba angu na mwisho ikafikia hatua akanitumia sms kama utaamua kuniacha powa tu niache.

Kwa wanaume wenzangu naombeni ushauri wenu, huyu anamaana gani kunitamkia hivyo?
Kwa tafsiri ya haraka haraka ni kwamba alishakuacha muda mrefu hapo anatafuta njia tu na kisababu uropoke ili ukamilishe sentence aliyokwisha kuitunga.....

Haina tofauti na anakutengenezea mazingira umsukume mlevi kwa kidole aanguke halafu wewe ndio uonekane kisababishi angali kila kitu kilishaharibika
 
Mihuwa nakimwambiaga mtu hivyo..hua naamisha kabisa Wala sitanii..Ila yeye hua ndo anadhani natania..Tena nilikua namwambia Mara kwa mara
 
Mim pia nmekutana na demu mmoja nkapanga kabsa kumuoa tatzo Siku moja ananiambia eti yuko na wachumba wengi hivyo hata nsipomuoa ataolewa tu,kwa ujeur wangu nkamwacha eti ameniachia laaana ya kumwacha eti
 
Mim pia nmekutana na demu mmoja nkapanga kabsa kumuoa tatzo Siku moja ananiambia eti yuko na wachumba wengi hivyo hata nsipomuoa ataolewa tu,kwa ujeur wangu nkamwacha eti ameniachia laaana ya kumwacha eti
Huyo mzaha sana.
 
Leo kumetokea kutokuelewana kati yangu na mchumba angu na mwisho ikafikia hatua akanitumia sms kama utaamua kuniacha powa tu niache.

Kwa wanaume wenzangu naombeni ushauri wenu, huyu anamaana gani kunitamkia hivyo?
Mpo wengi,inawezekana anakutafutia sababu tu.....maana hana komitimenti wala fyucha nawewe
 
Back
Top Bottom