moyafricatz
JF-Expert Member
- Nov 27, 2015
- 2,900
- 4,865
Unapataje AFYA ya Akili, ili Hali unadaiwa namna hii?
Kanisani.
1. Unadaiwa Fungu la kumi
2. Ujenzi wa Kanisa.
3. Kumnunulia gari Mtumishi.
4. Ujenzi nyumba ya Pastor.
5. Mchango kwa wasiojiweza.
Serikalini.
1. TRA
2: TOZO.
3: Leseni ya biashara.
4: Bill ya MAJI
5: Bill ya umeme
6:Tozo ya usafi eneo la biashara.
7: Tozo ya usafi eneo la makazi.
8: Kodi ya Pango eneo la Biashara.
9:
Kijamii.
1: Michango ya harusi, kitchen party, send-off, birthday nk.
2: michango ya misiba.
3: Madeni ya Vicoba/Benk
4: Michango ya ukoo
5: Madeni kwa MANGI.
6: Ada/ michango ya watoto shuleni.
Maisha yenyewe Sasa;
Mafuta Bei juu.
Unga Bei juu
Mchele Bei juu
Maharage Bei juu
Mbolea Bei juu
Nyama Bei juu
Sabuni Bei juu
Maji Bei juu.........nk
Hapa ukiwa na AFYA ya Akili, juwa wewe huna Akili
Kanisani.
1. Unadaiwa Fungu la kumi
2. Ujenzi wa Kanisa.
3. Kumnunulia gari Mtumishi.
4. Ujenzi nyumba ya Pastor.
5. Mchango kwa wasiojiweza.
Serikalini.
1. TRA
2: TOZO.
3: Leseni ya biashara.
4: Bill ya MAJI
5: Bill ya umeme
6:Tozo ya usafi eneo la biashara.
7: Tozo ya usafi eneo la makazi.
8: Kodi ya Pango eneo la Biashara.
9:
Kijamii.
1: Michango ya harusi, kitchen party, send-off, birthday nk.
2: michango ya misiba.
3: Madeni ya Vicoba/Benk
4: Michango ya ukoo
5: Madeni kwa MANGI.
6: Ada/ michango ya watoto shuleni.
Maisha yenyewe Sasa;
Mafuta Bei juu.
Unga Bei juu
Mchele Bei juu
Maharage Bei juu
Mbolea Bei juu
Nyama Bei juu
Sabuni Bei juu
Maji Bei juu.........nk
Hapa ukiwa na AFYA ya Akili, juwa wewe huna Akili