Pearl
JF-Expert Member
- Nov 25, 2009
- 3,036
- 309
usisahau pia kumwomba Mungu akupe na nguvu dear maana zawadi yenyewe ni ile iliyobarikiwa ili atuwezeshe kupanda mbegu bora ktika shamba letu ili badae tule matunda na kufurahia kivuli chake,fanya kazi sasa maana bila kazi tutakuwa maskini na asie fanya kazi na asile,kazi njema na mchana mwema,jioni naomba niletee japo ppipi ili tule wote,na kupata radha nzuri kabla ya chakula kitam.
Aiseee. Hayo maneno matamu ya Pearl ndo yameenda kidato. Kwa maneno hayo hakyanani hata kama nina kazi ya deadline ya mwakani,ntaichapa iyo kazi ili niimalize leo leo kabla sijaenda kutana na babe anaetoa maneno matamu ka ya Pearl.