anapatikana kwa simu namba 00255717326072 au email:msafirimgengeli@yahoo.com kwa sasa anaishi na kufanya kazi dar ila yupo safarini ameenda Burundi anaendesha kwenye kampuni ya kusafirisha mafuta mimi ni mdogo wake
naona promo mtu anajiulizia, anajijibu na kujipromo
mie namfahamu huyo jamaa wakati naishi arusha sekei, alinilangua kweli mzigo wa laki tatu kwedna dar alikula laki nanne na watu wa procurement ofisini kwetu
naona promo mtu anajiulizia, anajijibu na kujipromo
not enough?
need more explanations?
Naona jamaa amekiri kubanwa kwenye angle