Mfarisayo unaweza kua sawa lakini kumbuka wengine wanakua hawajategemea kupewa vibuti ivo kikimpata kibuti na angali alikua anakuhitaji ni lazima akuchukie...binafsi sinaga cha friend match once we are done,we are done for good regardless ur perfomance!
X bwana , anaitwa X for a reason. And since life is too short to waste time hating anyone inabidi tuwachukulie tu kama watu waliotufunza something katika ulimwengu wa mahusiano. Whether positive or negative we did learn something.
who??????????
unaeangalia nae sinema za X............!!!!!!!!
Habari zenu wanajamvi ni matumaini mu wazima kabisa
Nauhakika asilimia kubwa yetu humu tumepitia mahusiano kadhaa kabla ya ndoa(kwa waliooa na kuolewa) na kwa wale ambao hawako katika mahusiano sasa baada ya kukumbwa na mahasibu tofauti tofauti,na kila mtu ana mtazamo tofauti kwa hao ma EX,je wewe unamchukuliaje EX wako?Rafiki yako?Adui?
Binafsi EX hawezi kua rafiki yangu wala adui yangu yan namuweka katika group la mtu wa kawaida tukikutana barabaran ni salamu tu hakuna story zingine(kama n msaarabu lakini) kama ni wale wanaoleta maneno mbovumbovu hakika sitaki hata unisalimie wala kuniuliza kitu na hata kuntext kwa bahati mbaya sitaki kabisaaaa
i don't remember any ex lol
Aahhhh......kitu mashine mpya bana......roho swazuuuuuu......X ni kama koikoi tu...... wa nini sasa.......ptuuuuuuu.......
Preta......In Love.....
unaeangalia nae sinema za X............!!!!!!!!
Sure umeongea vyema my dia n kweli wanatufunza vitu na kama pa kurekebisha unapajua then it wl help your in ur next relationX bwana , anaitwa X for a reason. And since life is too short to waste time hating anyone inabidi tuwachukulie tu kama watu waliotufunza something katika ulimwengu wa mahusiano. Whether positive or negative we did learn something.