Kichuchunge
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 338
- 891
1. Mama: Naongea na wewe unajifanya kukaa kimya siyo?
Mtoto: Lakini mama......
Mama: Nyamaza, yaani mimi naongea na wewe unaongea?
2. Haya nenda kacheze halafu uchelewe kurudi. (Kakwambia uchelewe sasa ole wako uchelewe)
3. Baada ya kumuogesha mtoto eti anamwambia halafu ukajichafue tena!
Tupia na nyingine!
Mtoto: Lakini mama......
Mama: Nyamaza, yaani mimi naongea na wewe unaongea?
2. Haya nenda kacheze halafu uchelewe kurudi. (Kakwambia uchelewe sasa ole wako uchelewe)
3. Baada ya kumuogesha mtoto eti anamwambia halafu ukajichafue tena!
Tupia na nyingine!