kuna watu hawaelewi dhana ya sweepers au madereva wa pikiiki katika misafara ya viongozi
i,kama tunavyojua pikipiki ina taa moja mbele taa hiyo au jicho huwakilisha shetani mwenye jicho moja shetani huyo ndio ulinda viongozi wote duniani
Al-Masih ad-Dajjal (المسيح الدجّال )Al-Masīḥ ad-Dajjāl, "masiha wa uwongo", or "the deceiver"ni alama ya ushetani au ibilisi katika theolojia ya kiislam.
kwa mujibu wa hadithi za mtume mohammed SAW alishatabiri uovu atakaofanya huyo shetani kwa viongozi wa nchi Muhammad alisema:
...Ad-Dajjal ni shetani mwenye jicho moja atakayeongoza misafara ya viongozi wote wa duniya hii
kwa hiyo ujue marais na viongozi wa nchi wote wako chini ya shetani huyo
we umesema viongozi wote wa dunia huongozwa na shetwan? sasa mbona wasema syohizo ndio sio za kishetani
لماذا تريدوا أن تقتله؟والله سوف أقتلك
كيف عرفت انه غبي!؟ahahaha
أنت غبي
We jamaa unajua. Kucheza na akili za watu.shida tupu cheki hapa dini inavyoelekeza