mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,276
- 12,336
Ikiwa ya imebakia Masaa kadhaa kabla ya tarehe ya mwisho ya kufanya usajili wa timu zitakazo shiriki michuano ya Afrika msimu ujao ligi ya Misri Epl bado haijaisha na Wala bingwa na top 4 itakayoshiriki mashindanoo hayo bado haijulikani.
Hivyo imezua sintofahamu ya timu zipi zinatashiriki michuano hio.
Hivyo imezua sintofahamu ya timu zipi zinatashiriki michuano hio.