toto dogo mambo kubwa!!basi enzi hzo tunakaa kwenye mawe,matofali,na wengine chini kabisaa...feis kumbe weye toto dogo bhana
Kibanga ampiga mkoloni,siku ya gulio katelelo,chopeko na mnofu, ndoto za kimweri....mnasoma kitabu huku mkipokezana? Mi ilikuwa miaka ya 1993 vp wewe?
I used to hate Things fall apart, kiinglish kilikuwa hakipandi, nilikuwa naona mwalimu ananipigia makelele tu, I was looking forward na somo la kiswahili, ngoswe penzi kitovu cha uzembe na hadithi za magazeti ya sani(enzi hizo yanatoka kwa mwezi mara moja kama sikosei).
matonya ala konokono,na ile nyimbo ya sugura...sizitakii mbichi hizi,jumaa na uledi,karudi baba mmoja kutoka safari ya mbali,kavimbaa yote miguu na kutetemeka mwili,watoto wake wakaja ili kumjulia hali....zawadi ya ushindi.