Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,891
wadau napenda kuliona hili jukwaa la watu wanaopeana mbinu za kutatua matatizo na sio walalamishi, hivyo basi kama unawazo jipya la biashara liweke hapa au modify waliyoweka wengine.
Naanza mimi: ningekuwa na mtaji au kwa watu wenye mtaji naona kujenga vyoo kwenye barabara kuu sehemu ambazo watu huwa wanachimba dawa unaweza kuwa mradi mzuri, ni kwamba kila abiria kwenye gari analipia kama tsh mia mbili hivi kwa magari ya abiria na watu binafsi. Nahisi ni biashara ya uhakika sababu watu hawapendi kujisaidia wazi kama wanyama pia ni aibu wageni kutoka nje kuondoka na picha eti watanzania wanajisaidia hovyo. mwana jamii irekebishe hii au to wazo lako jipya hasa lisilo hitaji mtaji mkubwa.
Naanza mimi: ningekuwa na mtaji au kwa watu wenye mtaji naona kujenga vyoo kwenye barabara kuu sehemu ambazo watu huwa wanachimba dawa unaweza kuwa mradi mzuri, ni kwamba kila abiria kwenye gari analipia kama tsh mia mbili hivi kwa magari ya abiria na watu binafsi. Nahisi ni biashara ya uhakika sababu watu hawapendi kujisaidia wazi kama wanyama pia ni aibu wageni kutoka nje kuondoka na picha eti watanzania wanajisaidia hovyo. mwana jamii irekebishe hii au to wazo lako jipya hasa lisilo hitaji mtaji mkubwa.