Unahitaji kutengenezewa professional website kwa gharama nafuu sana?

miettu

Member
Sep 12, 2012
25
0
Natengeneza professional websites, static and dynamic. nafanya domain name registration na web hosting. gharama zangu ni nafuu sana.


Kwa information zaidi nipigie


0758 717754
 
Peleka kule jukwaa la matangazo. Pia niwekee kazi zako za hivi karibuni na pia website designer unataka kufundishwa marketing skills kweli?
 
Natengeneza professional websites, static and dynamic gharama zangu ni nafuu sana.
Kwa information zaidi nipigie
0758 717754

Kwanza kabisa naomba nikuambie kwamba hakuna kitu kama cheap professional website, if its professional then somebody has to pay some money for it. Wewe usije ukawa ndio wale mnaocustomize templates za kudownload online then you call yourselves web designers, wakati haujui hata kuandika css. Back to you now, kama wewe ni professional web designer kwanza do you have a website? does your website show what you have done? if yes nipatie link then, i may have a job for you, but if your work is ---- don't even show me the link.
 
kwanza hapokei simu huyu bwana

Kama hapokei! Mie pia nafanya kazi hizo boss nimwajiriwa wa www.shaabanrobert.ac.tz kama webmaster na kwa my private time huwa nafanya hizi kazi kujiongezea maarifa na kipato hizi ni baadhi ya kazi zangu www.eabmti.co.tz, www.happinesscakes.co.tz plus na hiyo link nilioonyesha hapo juu! Gharama zangu ni za kawaida na pia offers mbalimbali natoa! Kwa mawasiliano please piga 0713488889
 
Kwanza kabisa naomba nikuambie kwamba hakuna kitu kama cheap professional website, if its professional then somebody has to pay some money for it.
Mkuu mtu kutengeneza kitu kwa bei nafuu kunakua na factor nyingi.. unaweza ukatengeneza kitu kwa bei nafuu ili uvutie wateja wengi, pia unaweza ukatengeneza kwa bei nafuu kwa kua kwa wakati husika hauna wateja wengine ivyo kuliko kukaa bila kazi unaamua kupunguza gharama zako. Jaribu kupitia kitabu cha Ian Sommerville, kwenye sehem ya "software cost estimation".
Wewe usije ukawa ndio wale mnaocustomize templates za kudownload online then you call yourselves web designers, wakati haujui hata kuandika css.
Sidhani kama kuna ulazima wa kufanya kila kitu from the scratch kama kuna uwezekano wa kudownload template even to buy it kisha ukacustomize, provided kwamba hakuna hasara unayopata. Chukulia mfano unatengeneza website kwa USD 400, then unadownload template inyouzwa USD 70, na inakua imekwshakua optimized kabisa. We unaona kuna tatizo hapo?[/QUOTE]
 
Too bad sites zako ulizoweka umehost katika free hosting website. Hicho ndicho kinachokufanya uwe cheap, ila kumbuka bure ni gharama ndugu.... Free hosting sites dakika yoyote inaondoka hewani na data zote za wateja wako zinapotea. Unaweza lipishwa mpaka utaisoma namba
 
Kama hapokei! Mie pia nafanya kazi hizo boss nimwajiriwa wa Shaaban Robert Secondary School Homepage kama webmaster na kwa my private time huwa nafanya hizi kazi kujiongezea maarifa na kipato hizi ni baadhi ya kazi zangu East Africa Business & Media Training Institute | Center of Excellence, Happiness House Of Cakes | House of Quality Cakes plus na hiyo link nilioonyesha hapo juu! Gharama zangu ni za kawaida na pia offers mbalimbali natoa! Kwa mawasiliano please piga 0713488889
Naona unataka kumvua mvuvi aisee... teh teh teh
 
mkuu ungeweka kwanza website yako
then ungeweka pia portfolio zitatazowashawishi wateja katika kukuamini
maneno mengi siku hizi hayauzi sana sana mtu unaonekana tapeli ila ukiweka portfolio kadhaa ambazo zitaonekana zimetengenezwa kitaalamu utashangaa kwa jinsi simu zitakavyomiminika

fanya hivyo basi
 
Sidhani kama kuna ulazima wa kufanya kila kitu from the scratch kama kuna uwezekano wa kudownload template even to buy it kisha ukacustomize, provided kwamba hakuna hasara unayopata. Chukulia mfano unatengeneza website kwa USD 400, then unadownload template inyouzwa USD 70, na inakua imekwshakua optimized kabisa. We unaona kuna tatizo hapo?
[/QUOTE]

It is that mentality ambayo inasababisha watanzania tuendelee kua nyuma technologically compared with our east african neighbors, and the problem is most web design companies in Tanzania employ so many guys who think like that, kwamba just download a template, put the logo add content and that's it, then you call yourselves web designers, so hembu nikuulize hata kama unanunua template utacustomize kitu gani kama haujui css au wewe ku customize unaelewaje? Look man, if you wanna call yourself a web designer you have to know css & html as the minimum required skillset otherwise just find another profession achia watu walio serious wafanye hizi kazi.

Just look at the tanzania government website and look at the whitehouse.gov website, are you going to call the guy who designed the tanzania governmet website a web designer? its such a shame, that this country's websapce is full of cheats who call themselves designers, tusipende shortcuts, creating genuine products require some sacrifice.

Nimeshakutana na clients wengi sana wanaokuja, unawaambia price anasema eti mbona fulani anatengeneza kwa dola 400, then wakienda huko a few months back wanakuja wanataka uwapunguzie bei kwa sababu yule jamaa wa 400 tayari walishamlipa lakini hakuwafanyia kazi vizuri, it is a very polluted environment because of guys that think like you.

Sorry for a long post but kama unataka kujiita designer then learn how to design, kusoma inatakiwa iwe ni part ya kazi yako, everyday there's new stuff coming out, keep yourself sharp, don't just create some silly looking tables like that guy aliyetengeneza site ya shaaban robert, site imekaa upande, some images are not well aligned, and the guy who did it had the audacity to market himself hapa kwamba kama unataka web umcall, really?? do u think if that guy did a little css kwenye hiyo site ingekua inaonekana hivyo? then ukiangalia site zake nyingine almost all look like they share parents, zote zinafanana, we need to change and stop being lazy, learning is free online, acheni uvivu, web designing is a profession just like engineering.
 
It is that mentality ambayo inasababisha watanzania tuendelee kua nyuma technologically compared with our east african neighbors, and the problem is most web design companies in Tanzania employ so many guys who think like that, kwamba just download a template, put the logo add content and that's it, then you call yourselves web designers, so hembu nikuulize hata kama unanunua template utacustomize kitu gani kama haujui css au wewe ku customize unaelewaje? Look man, if you wanna call yourself a web designer you have to know css & html as the minimum required skillset otherwise just find another profession achia watu walio serious wafanye hizi kazi.

Just look at the tanzania government website and look at the whitehouse.gov website, are you going to call the guy who designed the tanzania governmet website a web designer? its such a shame, that this country's websapce is full of cheats who call themselves designers, tusipende shortcuts, creating genuine products require some sacrifice.

Nimeshakutana na clients wengi sana wanaokuja, unawaambia price anasema eti mbona fulani anatengeneza kwa dola 400, then wakienda huko a few months back wanakuja wanataka uwapunguzie bei kwa sababu yule jamaa wa 400 tayari walishamlipa lakini hakuwafanyia kazi vizuri, it is a very polluted environment because of guys that think like you.

Sorry for a long post but kama unataka kujiita designer then learn how to design, kusoma inatakiwa iwe ni part ya kazi yako, everyday there's new stuff coming out, keep yourself sharp, don't just create some silly looking tables like that guy aliyetengeneza site ya shaaban robert, site imekaa upande, some images are not well aligned, and the guy who did it had the audacity to market himself hapa kwamba kama unataka web umcall, really?? do u think if that guy did a little css kwenye hiyo site ingekua inaonekana hivyo? then ukiangalia site zake nyingine almost all look like they share parents, zote zinafanana, we need to change and stop being lazy, learning is free online, acheni uvivu, web designing is a profession just like engineering.

mkuu kila siku unachanganya developer/programmer na designer. unaweza usijue programming na ukawa designer kuna tools kibao siku hizi zinatengeneza web/template from scratch na unatoa kitu makini kabisa. wewe unaongelea developer au programmer
 
mkuu kila siku unachanganya developer/programmer na designer. unaweza usijue programming na ukawa designer kuna tools kibao siku hizi zinatengeneza web/template from scratch na unatoa kitu makini kabisa. wewe unaongelea developer au programmer

Haha, sichanganyi kitu bwana, embu nioneshe hizo templates ambazo unaziita "makini" ambazo zimetengenezwa na hizo tools, au nioneshe designers ambao wanazitumia nione kama kweli kuna kitu kama kutumia tools kutengeneza templates makini
 
Haha, sichanganyi kitu bwana, embu nioneshe hizo templates ambazo unaziita "makini" ambazo zimetengenezwa na hizo tools, au nioneshe designers ambao wanazitumia nione kama kweli kuna kitu kama kutumia tools kutengeneza templates makini

kuna mfano artisteer unatoa template za wordpress, drupal, joomla, blogger na html uzuri wa template ni mwisho wako wa kufikiri ukiongezea na knowledge ya photoshop basi unatoa kitu makini. artisteer imepata mbabe sku hizi anaitwa template toaster sema hana crack thats why artisteer inaendelea kutumika sana.

cheki demo ya hii artisteer kitu inachofanya
Home
 
hebu tuoneshe wewe what best you can do

mi uwa nacheka sana zech anajua sna kuanzisha mijadala akizungumzia coding from scratch, sio tatizo, hatukatai, lakini maneno tupu hayavunji mfupa.

anadai ee is the best, sasa kuna zaidi millions of websites wanatumia joomla, wordpress, drupal n.k wao wooote sio wataalam ila yeye tu. watu wanajua css, wanajua html, ila kuna vitu vya kuzingatia ndo maana zikawekwa sites kama templatemonster na themeforest,

zech nakuhakikishia you wont survive in the game coz u are rigid
 
Last edited by a moderator:
kibongo bongo nani atakulipa milioni kwa ajili ya website? imagine utengeneze website from scratch ikucost atleast a month of hardwork kisha upewe laki mbili? una akili timamu wewe?

hapa unatumia jamiiforums ambayo ni vb, hebu niambie habari ya usalama wa tovuti, website ina online visitors 40k+ afu tumpe mtu kama zech atengeneze sijui custom nini nini from scratch. wataihack na utashangaa, nikwambie zech ni vigumu kuprove uwezo wako kwa maneno tupu. kila mtu anaekuja jukwaa hili na kutamba uwa anaonesha kazi zake...

kuna jamaa alikuja na mayocoo
mwingine akaja na clone.
sasa kuna bwana zech
 
Last edited by a moderator:
mi uwa nacheka sana zech anajua sna kuanzisha mijadala akizungumzia coding from scratch, sio tatizo, hatukatai, lakini maneno tupu hayavunji mfupa.

anadai ee is the best, sasa kuna zaidi millions of websites wanatumia joomla, wordpress, drupal n.k wao wooote sio wataalam ila yeye tu. watu wanajua css, wanajua html, ila kuna vitu vya kuzingatia ndo maana zikawekwa sites kama templatemonster na themeforest,

zech nakuhakikishia you wont survive in the game coz u are rigid
zec muda wote anaponda tu
 
zec muda wote anaponda tu

website anayotambia ni moja tu so far, na hatuna uhakika kama ni yeye kafanya from scratch.

mtu ambae ni expert uwa ana features ambazo mtu yoyote akiona tu anajua..

1. si mtu wa maneno mengi bali vitendo
2. hajisikii vibaya kuvolunteer
3. hasukumwi na hela kufanya kazi bali mapenzi kutoka moyoni (mtu anaesukumwa na hela kufanya kazi ni mganga njaa)
4. haoni vibaya kushea elimu kidogo kwa coleagues wake au watu wanaohitaji msaada wake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom