dvj nasmiletz
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 2,020
- 2,157
Habari wakuu,
Rais Samia leo kasema huwa anafuatilia sana JF, na anasoma maoni yetu hapa jamvini huwa anacheka sana.
Je, unadhani au unaweza guess ni nyuzi gani ua comment gani zinamfanya acheke zaidi?
Niko paleeeee.
Rais Samia leo kasema huwa anafuatilia sana JF, na anasoma maoni yetu hapa jamvini huwa anacheka sana.
Je, unadhani au unaweza guess ni nyuzi gani ua comment gani zinamfanya acheke zaidi?
Niko paleeeee.