Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,367
nyingine sijaonahahahaah kumbe na wewe uliachia Upadre katika hatua za mwisho eeh? Kama Dr. Slaa vile. Ewaaaa~Waseminaristi bana
nyingine sijaonahahahaah kumbe na wewe uliachia Upadre katika hatua za mwisho eeh? Kama Dr. Slaa vile. Ewaaaa~Waseminaristi bana
Taratibu, naona waumini wanauliza maswali sasa, kanisani hakuna kuuliza maswaliumekuwa mbogo ghafla.......
hamna haja ya bukingi we mbona ni promota tayari.....
maelezo kayatoa charity pale kwa juu zaidi na mengine hay ahapa chumba cha wagonjwa mahututi
B....au basi ntamalizia baadae kale kawimbo ukikoanzisha jana
nampenda nampenda.............................
sema pole pole basi na wewe!!
thawa......Taratibu, naona waumini wanauliza maswali sasa, kanisani hakuna kuuliza maswali
sawa??!!!
Nikiiweka wazi hspitali ninayofanyia kazi nitakuwa nimekiuka taratibu za JF na nitastahili ban, ni kweli hiki kipaji cha kutibu kwa tarumbeta ni cha kipekee
Nipruvu rong kwanza kama kweli hakuna kalaana.Weka madata hapa ya kuhakikisha kwanza ndio ntaedit.Edit hii fasta....nikirudi nisiikute kabisa.
kwa jinsia zotekwani ni kumpenda kivipi?kuna kupenda kwa aina nyingi fafanua,kuna kupenda kwa jionsia moja na jinsia tofauti tufafanulie tafadhali
-Sijui nimtaje,ila je kama ana mtu si itakua utata hapa teh teh teh!
Si unajua tena kaka kuna watu wanachanganywa na avatar hapaUshawaza vingine weye! kwani kumpenda mtu ama kufurahishwa na mtu nini maana yake?
heheheheNawapenda Kaizer, pape, RAy B. , De novo, Paka jimmyMasanilo ananichanganya natamani kumpenda lakini simuelewi sometimes, Nyamayao, FL1, Preta,Mwanajamii1 !.Kumbe nawapenda wengi hivi. loh
Nampenda pia Nanu, Bubu ataka Kusema.Nanu wherever you are kula tano
Nimechelewa jamvini karamu imeshaliwa.....
Annina
Some members here i love them a lot...
and some members here i dont like them at all
very boring and time wasting reading anything they write.........
Yumo humu?Mi nawapenda wengi tu humu ndani ila ninayempenda zaidi mwenyewe anajijua
Yumo humu?