kirusi cha ukimwi
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 799
- 638
Avatar inasisimua eenhIla avatar yako mmh
Avatar inasisimua eenhIla avatar yako mmh
Halafu inatishaAvatar inasisimua eenh
Ha ha ha; sasa ukute ndo mnapiga biology class halafu profesor anaweka animation ya huyo kiumbe anavyopiga kazi ndani ya cell mh ndo utasema sigegedi tenaHalafu inatisha
Ila binadamu tumeambiwa kusahau japo mimi sisahau hata maramojaHa ha ha; sasa ukute ndo mnapiga biology class halafu profesor anaweka animation ya huyo kiumbe anavyopiga kazi ndani ya cell mh ndo utasema sigegedi tena
haha uzi wa cku nyingi huu duu yaani niwe muwazii wakat huo lify langu liko fb hata jf cjuii
daa haya maisha ni mznguko
some days?!Sababu ya kifo sikuifahamu ila i can confirm the man kicked the bucket some days ago
Wewe endelea kutoa macho tu
Ni naona fix tu ....Wewe endelea kutoa macho tu
Unampenda humu humu JF na yanaishia humu pia. Wengine pretender tuNi naona fix tu ....
Na hao ukiwaleta Uswaz wanagoma kula tembele..bora tusiseme tu
Kuna kipindi tunajaribu kutoka na "superstar wa JF" ili tujue km matawi ya juu ana magumashi...Bora cc tunasema wazi ni watoto wa Uswaz so cku tukipata demu asishtuke tukimleta bondeni nyumba mbavu za mbwa...sebule stool 5.....Anayenipenda ajitokezeUnampenda humu humu JF na yanaishia humu pia. Wengine pretender tu
wataka jitokezaKuna kipindi tunajaribu kutoka na "superstar wa JF" ili tujue km matawi ya juu ana magumashi...Bora cc tunasema wazi ni watoto wa Uswaz so cku tukipata demu asishtuke tukimleta bondeni nyumba mbavu za mbwa...sebule stool 5.....Anayenipenda ajitokeze
Heri yako wewe mkuu maana kuna wengine noma hawajielewi kabisa hawajui kama hata afya njema ni asset piaIla binadamu tumeambiwa kusahau japo mimi sisahau hata maramoja
Hatufanani kama zilivyo nyweleHeri yako wewe mkuu maana kuna wengine noma hawajielewi kabisa hawajui kama hata afya njema ni asset pia
Siyo mimi kweliNina mtu nampenda humu.................