Unafiki wa kumlaumu sultani na usultani

Jiwe hatoki mwambao sheikh.
Hapa twazungumzia waswahili na ndio wenye Zanzibar yao, mfano Almarhum Aboud Jumbe, Ally Hassan Mwinyi etc.

MKuu hao wamepokewa tu Unguja. Wao wenyewe makwao wanapajua vizuri tu
 
MKuu hao wamepokewa tu Unguja. Wao wenyewe makwao wanapajua vizuri tu
Sheikh wahindi wekundu US ndio wenye nchi au wahamiaji wa ki Irish na wengineo?
Australia je wenye nchi ni Aborign ama wahamiaji wa ki English na wengineo?
Mwenye nchi Zanzibar ndio huyo unaimuita mgeni kutoka Tanganyika, na UKWELI ndio huo.
kukubaliana na hali halisi mapema kutakupunguzia stress na matatizo ya afya yanayotokana na kutokubaliana na UKWELI.
 
Sheikh wahindi wekundu US ndio wenye nchi au wahamiaji wa ki Irish na wengineo?
Australia je wenye nchi ni Aborign ama wahamiaji wa ki English na wengineo?
Mwenye nchi Zanzibar ndio huyo unaimuita mgeni kutoka Tanganyika, na UKWELI ndio huo.
kukubaliana na hali halisi mapema kutakupunguzia stress na matatizo ya afya yanayotokana na kutokubaliana na UKWELI.

Sio kila Muhindi mwekundu ndio Mwenye nchi marekani. Kwahiyo unataka kutuambia wa Mexico na wabolivia wana haki ndani ya marekani kuliko wale wazungu kwa kua ati asili ya Marekani ni wahindi wekundu?

Zanzibar ni ya Wazanzibari.
 
Naona mahaba na Sultan yamezikudi, utawaitaje watu wa mwambao wageni wakati wamepakana na Unguja kwa maili 20 tuu?

Siyo kweli, Sultan alitoka Oman 1800s, dola ya kilwa ikiwa imeshaanguka miaka zaidi ya miaka 300 kabla ya Seyyid Said kuja pwani ya Zanzibar.
Kwa hiyo wale watanzania wa horohoro pale Tanga ambao hawapakani na Kenya hata kwa kilometre 1 tunafaa Kuwaita wakenya???
 
Back
Top Bottom