Abaki kuwa mwakilishi wa wananchi coz hata pinda tulimwamin na akajiita mtoto wa mkulima but anachofanya sahivi ni tofauti kabisa. Naona huo wadhifa alionao ndo mzuri sana kuliko hata uwaziri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.