Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,145
- 13,216
Huyu jamaa ameonesha ujasiri sana na ukomavu wa KISI-HASA, mimi nisingePenda apewe wadhifa wowote maana nitamkosa sana katika kuikosoa serikali ya chama chake, nakumbuka jinsi Mwanri, Pinda, Mwakyembe, Manyanya, Kasaka, na wengineo walivyokuwa wanaichachafya serikali lakini ONA SASA baada ya kupewa kisu na umma nao WAIKATE KEKI........