Una ndoto za kumiliki gari?

AMAFUMU

JF-Expert Member
Oct 12, 2011
221
112
Natarajia kuiuza gari yangu aina ya gaia yenye usaji wa cne...
Sababu za kuiuza nimeagiza gari nyingine aina ya noah na inaingia tarehe 29 april 2015 hivyo nitaiuza niliyokuwa natumia mwazo.

Mwenye uhitahi tuwasiliane maake kufika wa tano katikati nitakuwa serious nauza hiyo gari
 
Natarajia kuiuza gari yangu aina ya gaia yenye usaji wa cne...
Sababu za kuiuza nimeagiza gari nyingine aina ya noah na inaingia tarehe 29 april 2015 hivyo nitaiuza niliyokuwa natumia mwazo.

Mwenye uhitahi tuwasiliane maake kufika wa tano katikati nitakuwa serious nauza hiyo gari
toa na taarifa zifuatazo: Imetembea kilometa ngapi, ina tatizo lolote kiufundi, inakula mafuta kiasi gani, na zaidi usisahau picha.
 
toa na taarifa zifuatazo: Imetembea kilometa ngapi, ina tatizo lolote kiufundi, inakula mafuta kiasi gani, na zaidi usisahau picha.

sawa mkuu nitaweka picha.
but imetembea 120,000km hadi sasa, pia haina tatizo la kiufundi just nimeamua kununua noah so nauza gaia.
kikubwa ninamipango ya kutokaa na gari miaka miwili kila ninapokaa na gari mwaka mmona na nusu nauza hii ni gari ya pili kuuza sasa.
 
sawa mkuu nitaweka picha.
but imetembea 120,000km hadi sasa, pia haina tatizo la kiufundi just nimeamua kununua noah so nauza gaia.
kikubwa ninamipango ya kutokaa na gari miaka miwili kila ninapokaa na gari mwaka mmona na nusu nauza hii ni gari ya pili kuuza sasa.
Toa namba za simu kaka ili tuwasiliane nahitaji sana hiyo gari
 
Unauza bei gani mkuu

nataka nitatangaza rasmi baadae kidogo japo mtu anaruhusiwa kuiona garai na pengine kutoa offer yake kwanza....ili nishawishike maake bado niko nusunusu kuiuza ama kuendelea kuitumia.
 
nataka nitatangaza rasmi baadae kidogo japo mtu anaruhusiwa kuiona garai na pengine kutoa offer yake kwanza....ili nishawishike maake bado niko nusunusu kuiuza ama kuendelea kuitumia.

Mkuu nataka kuiona hiyo gari vp ynapatikana wapi au utakuja batp hapa sinza niione?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom