UN Umoja wa Mataifa yaipongeza Tanzania kwa Amani iliyonayo

dyeanka

Member
Jun 19, 2016
96
70
Kupitia taarifa ya habari ya ITV muwakilishi wa Umoja wa Mataifa amempongeza Rais Magufuli kwa kuilinda amani ya Tanzania.

Muwakilishi huyo alikuwa anazungumza na walinda amani huko DRC, ameziasa nchi jirani kuiga namna Tanzania inavyolinda amani yake hasa pale wanapowasha mwenge kuaishiria kumulika Afrika dhidi ya amani. Ameongeza pia Tanzania ni miongoni mwa nchi mbili barani Afrika zenye amani.

Wito wangu kwa watanzania tuilinde amani yetu. Ni ukweli kwamba Dunia inajifunza kwetu kutona na amani tuliyonanyo.
 
Kupitia taarifa ya habari ya ITV muwakilishi wa Umoja wa Mataifa amempongeza Rais Magufuli kwa kuilinda amani ya Tanzania.

Muwakilishi huyo alikuwa anazungumza na walinda amani huko DRC, ameziasa nchi jirani kuiga namna Tanzania inavyolinda amani yake hasa pale wanapowasha mwenge kuaishiria kumulika Afrika dhidi ya amani. Ameongeza pia Tanzania ni miongoni mwa nchi mbili barani Afrika zenye amani.

Wito wangu kwa watanzania tuilinde amani yetu. Ni ukweli kwamba Dunia inajifunza kwetu kutona na amani tuliyonanyo.
hatuna amani ni porojo tu
 
Ijapokuwa hawapendi kutuona hivi, wanacheka machoni huku mihoyo yao inawaka moto
 
Wananchi wanahitaji maendeleo, lakini maendeleo ni maendeleo ndani ya Uhuru. Sio Maendeleo wakiwa wanaswagwa kama mateka, vingnenvyo wangewatafuta Wajapani Wajerumani waje hapa wawapige bakora ili wawe na majengo.Wananchi wanataka maendeleo ya watu.~ Rwaitama
 
Hapo UN wanazungumza kidiplomasia. Wasingetarajiwa kuzungumza vinginevyo kuhusu Tanzania. Wakati wanajeshi wetu wanalinda amani DRC unatarajia wengine wahamasishwe kwa kuzungumza ukweli wa hali halisi ya Tanzania? Unatarajia UN watatamka lolote kuhusu yale mauaji ya kibiti, kifo cha Akwilina, kifo cha yule diwani was Morogoro. Unatarajia wazungunze ukweli (hata kama wanaujua) kuhusu demokrasia inavyokanyagwa; kuhusu chaguzi zetu feki?

Hiyo ndiyo diplomasia na wewe unaishabikia.

You cannot run away from reality, nor can you hide it!
 
hatuna amani ni porojo tu
Kwasabbu hujawahi kuishi kwenye nchi zisizokua na amani ndo maana hii tuliyonayo unaiona porojo. Mtu unatoka kwenda kutafuta mkate wako huna uhakika wa kurudi salama nyumbani kwako. Leo mnaona na mtu mnasalimiana kesho hayupo. Usiombee ndugu yangu acheni masihara na amani
 
Back
Top Bottom