Bullshit
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,300
- 1,495
Yaani hii UN wakati mwingine huwa sielewe uwepo wake.
Imagine si mara ya kwanza wao kusema jeshi la Rwanda linahusika katika vita hivyo jana tu wametoa Ushahidi wa picha ya magari na vifaa vya jeshi vikitumika katika vita hivyo.
Lakini hawana hatua yoyote wanaochukua dhidi ya nchi ya Rwanda.
Halafu nchi za Magharibi zinataka Congo kufanya mazungumzo na waasi. Hivi hayo mazungumzo ni yapi kwa mfano?
Bado nafuatilia mwelekeo wa vita nione wapi vitaishia lakini UN sina kabisa imani na UN. Kuna ajenda ya siri inahusika katika vita hivi.
Imagine si mara ya kwanza wao kusema jeshi la Rwanda linahusika katika vita hivyo jana tu wametoa Ushahidi wa picha ya magari na vifaa vya jeshi vikitumika katika vita hivyo.
Lakini hawana hatua yoyote wanaochukua dhidi ya nchi ya Rwanda.
Halafu nchi za Magharibi zinataka Congo kufanya mazungumzo na waasi. Hivi hayo mazungumzo ni yapi kwa mfano?
Bado nafuatilia mwelekeo wa vita nione wapi vitaishia lakini UN sina kabisa imani na UN. Kuna ajenda ya siri inahusika katika vita hivi.