Companero
Platinum Member
- Jul 12, 2008
- 5,604
- 1,704
- Thread starter
- #181
nakubali pesa ndiyo kila kitu ila mbona hata wenye pesa ndoa zao ziko matatani?
mada haisemi kuwa pesa ndio kila kitu - inasema pesa ndio msingi mkuu wa kila kitu katika mapenzi/mahusiano
1. chakula kinanunuliwa kwa pesa (labda muwe mnafunga tu kila siku au kuomba chakula kwa majirani)
2. kitanda kinanunuliwa kwa pesa (labda mlale majanini vichakani ila siku hizi hata ardhi zina hatimiliki)
3. hata condom zinanunuliwa kwa pesa (labda muwe hamzitumii au muwe mnapewa bure zile za misaada)
na orodha ni ndefu inaendelea, ukiona huelewi mada rudi kwenye mfano wa gari - pesa ndio injini, ni lazima iwepo.