KINGSLEE
JF-Expert Member
- Aug 30, 2013
- 817
- 1,020
Wadau naomba kupata Elimu ya Jambo hili!Habari za usiku
Baada ya kupata magonjwa siku za karibuni ikanibi niende hospital ya Benjamin hapa Dodoma.
Nikacheki vipimo vyote ila nilipofika kwenye kipimo cha damu daktari alikuwa ananipa majibu huku Anatabasamu huku akiniambia kuwa nina bahati sana kuna kwenye kundi hili la damu(group 0 negative) na akaniandika jina kwenye White book na kuomba namba yangu.
Akaniambia nikihitajika na hospital nisisite kutoa msaada
Je, kuna umuhimu gani kuwa katika kundi hili(group 0 negative) na hasara zake ni nini hasaa?
Nb: Masomo ya India niliyakimbia yote nilibutua D
Ivi kati ya group O-Positive na O-Negative which is the best blood ambayo inanguvu zaid za kuhimili maradhi mbali mbali ikiwemo Ukimwi.
na ni ipi ambayo Cell zake hazina Rhesus-factor ya kupokea maradhi?