Yaani Deodorus Kamala, Venance Mwamoto, Job Ndugai, Saed Kubenea, Lameck Airo na Janeth Mbene wote wana miaka 31 kila mmoja??
Wabunge wengi ni wazee sijui wanang'ang'ania nini!
Ndio maana hatuendelei,mtu ana miaka 65_72 uchapakazi wake hauwezi kuwa sawa na akina Mnyika,Mdee,Nassary n.k
Kwanza mwili tu unakuwa umeshachoka.
PS.....hii ni kwa ubunge,halihusiani na urais.
Huyu mbunge wa mkalama alikuwa bosi wangu kwa miaka zaidi ya kumi leo anamiaka 31 na mimi nimeshazidi Uho umri kama ni takwimu za ofisi ya bunge basi ni hatari
Lowasa anamingapi?
Kuna baadhi ya taarifa sio za kweli. Mfano Martin wa Nsuha wa mbinga vijijini
Huyo kijana wa 21ni mbunge wa wapi? Chama gani?
Huyo mwenye miaka 21 anaitwa nani mkuu?