sammosses
JF-Expert Member
- Jan 24, 2011
- 1,682
- 1,110
Je umri unaotajwa wa 35 unafaa kuwa mmojawapo za sifa za presidential candidate ajae,pamoja na matukio yaliyotokea huko Zaire ya zamani kutoa kijana mdogo kama Joseph Kabila na Liberia Samwel Doe.Je nini athari ya wagombea wa nafasi hiyo kubwa nchini mwetu kuwa na umri mdogo?Nawakilisha tulijadili hili kwa mustakabali wa taifa letu