GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 5,132
- 6,931
Hii inawahusu watoto wanaoasiliwa wakiwa wadogo, kabla ya "kujitambua".
Ukiema usubiri mpaka awe mtu mzima ndipo umwambie ukweli, inaweza isiwe sahihi. Kunaweza kumwumiza nafsi kufahamu kuwa kipindi chote alichoishi na wewe hakuwa mwanao wa kumzaa.
Ukisema umjulishe angali akiwa mdogo, alu naona ina unafuu, lakini sina uhakika juu ya umri sahihi.
Unafikiri umri sahihi ni miaka mingapi?
Ukiema usubiri mpaka awe mtu mzima ndipo umwambie ukweli, inaweza isiwe sahihi. Kunaweza kumwumiza nafsi kufahamu kuwa kipindi chote alichoishi na wewe hakuwa mwanao wa kumzaa.
Ukisema umjulishe angali akiwa mdogo, alu naona ina unafuu, lakini sina uhakika juu ya umri sahihi.
Unafikiri umri sahihi ni miaka mingapi?