Hao kweli wapuuzi. Mbona hawajaiwekea vikwazo Marekani kwa ugaidi wa september 11 na matukio mengine ya kigaidi?
I think you are out of phase simply hujui ulichoandika.Hao kweli wapuuzi. Mbona hawajaiwekea vikwazo Marekani kwa ugaidi wa september 11 na matukio mengine ya kigaidi?
Umeanza ndoto zako,nadhani wangetuwekea hivyo vikwazo ili hawa ma alqaida wanaosafiri kila siku watulie nyumbani wametumalizia kodi zetu na hatuoni mafanikio yeyote,zaidi ya kuendelea kuwa omba omba,nadhani UHURU msg is a working up call,Hao kweli wapuuzi. Mbona hawajaiwekea vikwazo Marekani kwa ugaidi wa september 11 na matukio mengine ya kigaidi?
Umoja wa Ulaya umeitaka Tanzania iendelee kutunza heshima yake ya kusifika kuwa kisiwa cha amani kwa kuzuia vitendo vya uharifu kama mauaji ya viongozi wa kidini na matukio mengine ya kigaidi vinginevyo TZ itawekewa vikwazo na nchi wanachama
Source: STAR TV
Wajinga sana sana mbona huku ulaya kila siku watu wanauwana hawasemi.
CHABUSO ACHA KUKATA TAmaA si matajiri vipi mnataka muendelee kuomba ilimuwe mnapiga ten percent kwenye mikataba. Maana tukikaa na kujitambua hakusa misaada, kenya nusu yanchi jangwa lakini 100% wanijetegemea sisi tuna nini, kwani sie wanawake warembo tunangojea kuletewa na wanaume.
M
Umoja wa Ulaya umeitaka Tanzania iendelee kutunza heshima yake ya kusifika kuwa kisiwa cha amani kwa kuzuia vitendo vya uharifu kama mauaji ya viongozi wa kidini na matukio mengine ya kigaidi vinginevyo TZ itawekewa vikwazo na nchi wanachama
Source: STAR TV
Hao kweli wapuuzi. Mbona hawajaiwekea vikwazo Marekani kwa ugaidi wa september 11 na matukio mengine ya kigaidi?
Wamarekani walifanya ugaidi wa september11? Mahaba ya vyama yanatuduwaza. mungu mrehemu huyu kijan