Kitabu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 302
- 26
Dada mmoja anamwambia mumewe"Juma ananitongoza ninamkatalia lakini hasikii"(mume)"mkatalie tu"(mke)"nimemkatalia lakini kasema atanidondoshea laki tano,nikiokota tu atakuwa kamaliza"(mume)"aa kama ni hivyo ni rahisi tu,kubali halafu uokote haraka haraka.Demu kaenda,baada ya muda jamaa anampigia simu mkewe,"umefanya Kama nilivyokuambia?"(mke)"ndio,Ila amedondosha chenji chenji ndo namalizia kuokota mme wangu"-Kama ni wewe ungefanyaje?