BORNCV
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 242
- 46
Ngeleja ndiye anajua nini kinaendelea pale na Mkurungez TANESCO anafahamu ndio maana wanahaha kufanya matengenezo.Serikali haiamini Uchawi lakini Kikwete akianguka anakimbilia Bagamoyo badala ya kuwaona viongozi wa dini!
mkuu hapa sijaelewa naomba unifahamishe. Ina maana umeme umeshindwa kuvuka pale kwa Askofu Kakobe au ni issue nyingine?