Diana Joseph
Member
- Jul 22, 2011
- 11
- 1
Duh jamani ndugu zangu umeme huu sasa umekua tishio kubwa katika nchi yetu, sijui tufannyenini ndugu zangu!!!
Duh jamani ndugu zangu umeme huu sasa umekua tishio kubwa katika nchi yetu, sijui tufannyenini ndugu zangu!!!
Nakusapot? Tuanze? lin la sivyo mwez huu kale ka nyumba ndogo itabid kapigwe pending kwenye budgetHujui ufanyeje? Andaa Watu waingie Mitaani kwa Maandamano, haki haiombwi inapiganiwa. Je upo Tayari kuipigania haki yako kama upo Tayari tuingieni mitaani kuwafukuza Mafisadi
.Yule Kikwete kishasema kwamba matatizo yetu ya umeme yanasababishwa na ukame hivyo tusubiri mvua ambazo zinasemekana zitaanza October mwaka huu, kama ukame ukiendelea basi nchi itaendelea kuwa gizani.
Duh jamani ndugu zangu umeme huu sasa umekua tishio kubwa katika nchi yetu, sijui tufannyenini ndugu zangu!!!