Sababu? Mazingira ya kufanya biashara sio rafiki kupata kipato, rushwa, wizi, ufisadi uliyokithiri kila sehemu.Vijana wengi wa kiume hawaoi....alisikika mtawala mmoja akionesha hizo ndio mada kuu kwake.
Ila nyie watu. Mbona wengine tunazinunua kwa 3600?Nchi nzima ipo gizani sukari kilo 5400 mtu
Ila nyie watu. Mbona wengine tunazinunua kwa 3600?
Huku ukiwa online gizani tangu usubuhi 🐒Nchi nzima ipo gizani sukari kilo 5400 mtu anakuja kukuomba kura kwa tikiti ya ccm hakuna haja ya kumuuliza swali maana akija akikuta umeme sukari hataikuta akikuta sukari umeme hataukuta ccm imechoka sanaaa na wamedanganya mpaka uongo umekwisha