Umelewa?

Viol

JF-Expert Member
Dec 15, 2009
25,426
18,231
2+2=samaki
3+3=8
7+7=pembe tatu
4+4=mshale
8+8=kipepeo

umeelewa nachomaanisha?
 
mkuu najua hujaelewa,teh teh teh

wapi bana?
Hayo manamba si unayajumlisha kwa kuyaunganisha instead of numericale? Ndo unapata hizo figure zenye umeainisha hapo juu...
Mfano: 7+7, ukifanya presumption kuwa hizo si namba ila ni michoro tu, ukigeuza 7 ya kwanza halafu ukiifungamanisha na 7 ya pili unapata umbo la triangle.
Hapo je?
Haya, amka kumekucha!
 
Excellent, hivi siku hizi unatoka na nani? Manake huu ualimu wa kilabu cha mataptap sijui ulikuwa manufactured wapi!
 
wapi bana?
Hayo manamba si unayajumlisha kwa kuyaunganisha instead of numericale? Ndo unapata hizo figure zenye umeainisha hapo juu...
Mfano: 7+7, ukifanya presumption kuwa hizo si namba ila ni michoro tu, ukigeuza 7 ya kwanza halafu ukiifungamanisha na 7 ya pili unapata umbo la triangle.
Hapo je?
Haya, amka kumekucha!

Jamii Forums....Home Of Great Thinkers......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom