Mbona unatuuliza maswali ya Jumapili?Leo jumanne,au bado upo jumatatu?
2+2=samaki
3+3=8
7+7=pembe tatu
4+4=mshale
8+8=kipepeo
umeelewa nachomaanisha?
mkuu najua hujaelewa,teh teh teh
King'asti hujui Excellent ameamua kuja kwa reverse.Excellent, hivi siku hizi unatoka na nani? Manake huu ualimu wa kilabu cha mataptap sijui ulikuwa manufactured wapi!
wapi bana?
Hayo manamba si unayajumlisha kwa kuyaunganisha instead of numericale? Ndo unapata hizo figure zenye umeainisha hapo juu...
Mfano: 7+7, ukifanya presumption kuwa hizo si namba ila ni michoro tu, ukigeuza 7 ya kwanza halafu ukiifungamanisha na 7 ya pili unapata umbo la triangle.
Hapo je?
Haya, amka kumekucha!
You Got It Right Bebii...(Tafadhali usimwambie MC) sina ubavu mie!.Jamii Forums....Home Of Great Thinkers......
You Got It Right Bebii...(Tafadhali usimwambie MC) sina ubavu mie!.
He he ndio asubuhi tena, nimeamka nayo natafuta wapi nikapate supu ya kongoro..sijui niende kwa Mrombo!.na anapigajeeeee....
hujambo lakini.....
Exellent umebanwa na haja, fanya haraka ukatite kabla hujachafua hali ya hewa hapa.
Twaffazal?
2+2=samaki
3+3=8
7+7=pembe tatu
4+4=mshale
8+8=kipepeo
umeelewa nachomaanisha?