Umelewa?

yaani 2+2=samaki,ina mana hizo mbili zikigeukiana zinakaa kama mchoro wa samaki vile
3+3=8 mana yake ukifanya zigeukiane zinaonyesha ni nane
7+7=pembe tatu means zikigeukiana zinaonyesha kama kama pembe 3 ilivyo
8+8=zikigeukiana au kuziunganisha zinaonekana kama kipepeo
4+4=mshale,means zikigeukiana zinaonekana kama mshale
Hahahha hahaha hahhah,
Asante EXELLENT maana nimeziandika pemben hapa na zikatokea,
Your a Great thinker swaiba!
 
wapi bana?
Hayo manamba si unayajumlisha kwa kuyaunganisha instead of numericale? Ndo unapata hizo figure zenye umeainisha hapo juu...
Mfano: 7+7, ukifanya presumption kuwa hizo si namba ila ni michoro tu, ukigeuza 7 ya kwanza halafu ukiifungamanisha na 7 ya pili unapata umbo la triangle.
Hapo je?
Haya, amka kumekucha!

duuuuu,nilishangaa tu.
 
Ex mi nilijua unauliza km tumelewa, kumbe tumeelewa.
Umechapia kuandika heading yako.
Ila mi nlikua nshaelewa
 
Walev 2 waliokota kioo. Mlev wa kwanza. Hii sura si ngeni ila jina sikumbuki. Mlev wa 2 akachkua kioo kuangalia akasema. We chizi kwel, c mm hyu unajidai hunijui!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom