mhmh kawaida kwa huko kijijini unapenda waweje Young Master ?walaini?Duh!!! Mbona wamekomaa hivyo???
mhmh kawaida kwa huko kijijini unapenda waweje Young Master ?walaini?
Duh!!! Mbona wamekomaa hivyo???
Inanikumbusha mbali sana enzii za marehemu bibi yangu Mungu ailaze roho yake pema peponi!....