Loading failed
JF-Expert Member
- Sep 14, 2023
- 1,969
- 5,919
Habari za ndugu zangu
HAKIKA NAWAAMBIENI TUSIPO WASIMAMIA NA KUWAKATAZA WANAWAKE IPO SIKU WATATEMBEA UCHI WA MNYAMA HADHARANI
Ukiwaangalia na kuchunguza sana wanawake zenu wanaovaa hivi na kama wewe ni mtu wa viwanja utagundua kabisa mavazi yao yanaonyesha na kuwaeleza wazi kuwa hawanatofauti na dada poa hakika, sasa jiulize kama siyo dada poa huyo mwanamke wako na ingekua ana kuvalia wewe nusu uchi angekuvalia huko chumbani na siyo barabarani sisi tuone mwili wake.
Ukweli mchungu huu na nayasema haya kwasababu kunawimbi la wanaume walio laaniwa na wasio na akili kabisa wanao ongozana mijini na sehemu tofauti tofauti za kupata huduma za kijamii kwa namna zake wakiwa na wanawake wanaovaa nusu uchi huku wanawake wengine ukiwaangalia unaona ule ni uchi kabisa wakiinama huku wakikiacha kitumbua kikiwa kinaonekana kwa mbali namna kilivyoumbika.
Utakutana na wa/mwanaume wanaongozana na wa/mwanamke kavalia nguo ipo juu ya magoti kabisa, mwingine kavalia nguo ipo juu ya kitovu, mwingine kavaa shifoni mpaka chuchu zinaonekana wazi kabisa, mwingine kitovu na tumbo lote lipo nje nje, kiuno na mapaja usiseme kabisa vyote nje wazi wazi, huku mwanamke mwingine utakuta kavaa nguo mabega yote mpaka usawa wa matiti, mgongo na kifua vipo wazi kabisa huku na chini ni hovyo kavaa yani ni uchi uchi, wa/mwanaume mwingine mwenye laana anaongozana na mwanamke kavaa skin tyt tuu (vile wanavyovaa wanawake wakisha vaa pantii) na kitisheti au shifoni huku mbele na nyuma kachoreka ,juu mpaka chini unaona mwili huu hapa wa mwanamke
Wapo pia wanaume wengine wanaongozana hospitali/ klinik na wanawake wao wajawazito waliovalia magauni ya nusu uchi yakiwa nyuma yamenyanyuka kiasi cha tunaona kingo za mapaja na wakipanda kwenye ngazi ni balaa tupu unaona vitu hivi hapa, wanaume hawa nao hawana akili na wamelaaniwa kabisa kabisa.
Mwanaume kama unayo akili na haujalaaniwa huwezi kukubali kuongozana na mwanamke aliyevaa nusu uchi mkatoka nje ya nyumba na ukatembea nae pamoja. Mwanaume mpumbavu, mwenye laana na asiye na akili ndiye mwanaume pekee atakaye weza kuongoza na mwanamke aliyevalia nusu uchi barabarani na sehemu zinazotoa huduma za kijamii
Enyi wanaume mlio kwisha kukosa akili na wenye laana, chukueni neno hili jukumu la mwanaume kwa hawa viumbe ni kutawala, kuongoza ,kutunza na kuamrisha kwa akili na sii kwa mabavu. ila wakileta ujuaji kama mtawala lazima nguvu isiyo na madhara makubwa itumike kuwa weka sawa hawa wanawake nasiyo kuwachekea. Wakatazeni wanawake zenu na mabinti zenu kuvalia nusu uchi, kuepuka hii laana na fedheha , epuka ukosefu wa akili na upumbavu wa kujitakia wakuongozana na mwanamke aliyevaa nusu uchi hawa hawana tofauti na dada poa
Ipo siku vijana watawatongoza na kuwapapasa miili hao wanawake zenu mnaoongozana nao huku wamevalia nusu uchi na hakuna kitu mtafanya sawa sawa na laana na upumbavu wenu mlio nao wanaume zao
View attachment 2887008View attachment 2887009
HAKIKA NAWAAMBIENI TUSIPO WASIMAMIA NA KUWAKATAZA WANAWAKE IPO SIKU WATATEMBEA UCHI WA MNYAMA HADHARANI
Ukiwaangalia na kuchunguza sana wanawake zenu wanaovaa hivi na kama wewe ni mtu wa viwanja utagundua kabisa mavazi yao yanaonyesha na kuwaeleza wazi kuwa hawanatofauti na dada poa hakika, sasa jiulize kama siyo dada poa huyo mwanamke wako na ingekua ana kuvalia wewe nusu uchi angekuvalia huko chumbani na siyo barabarani sisi tuone mwili wake.
Ukweli mchungu huu na nayasema haya kwasababu kunawimbi la wanaume walio laaniwa na wasio na akili kabisa wanao ongozana mijini na sehemu tofauti tofauti za kupata huduma za kijamii kwa namna zake wakiwa na wanawake wanaovaa nusu uchi huku wanawake wengine ukiwaangalia unaona ule ni uchi kabisa wakiinama huku wakikiacha kitumbua kikiwa kinaonekana kwa mbali namna kilivyoumbika.
Utakutana na wa/mwanaume wanaongozana na wa/mwanamke kavalia nguo ipo juu ya magoti kabisa, mwingine kavalia nguo ipo juu ya kitovu, mwingine kavaa shifoni mpaka chuchu zinaonekana wazi kabisa, mwingine kitovu na tumbo lote lipo nje nje, kiuno na mapaja usiseme kabisa vyote nje wazi wazi, huku mwanamke mwingine utakuta kavaa nguo mabega yote mpaka usawa wa matiti, mgongo na kifua vipo wazi kabisa huku na chini ni hovyo kavaa yani ni uchi uchi, wa/mwanaume mwingine mwenye laana anaongozana na mwanamke kavaa skin tyt tuu (vile wanavyovaa wanawake wakisha vaa pantii) na kitisheti au shifoni huku mbele na nyuma kachoreka ,juu mpaka chini unaona mwili huu hapa wa mwanamke
Wapo pia wanaume wengine wanaongozana hospitali/ klinik na wanawake wao wajawazito waliovalia magauni ya nusu uchi yakiwa nyuma yamenyanyuka kiasi cha tunaona kingo za mapaja na wakipanda kwenye ngazi ni balaa tupu unaona vitu hivi hapa, wanaume hawa nao hawana akili na wamelaaniwa kabisa kabisa.
Mwanaume kama unayo akili na haujalaaniwa huwezi kukubali kuongozana na mwanamke aliyevaa nusu uchi mkatoka nje ya nyumba na ukatembea nae pamoja. Mwanaume mpumbavu, mwenye laana na asiye na akili ndiye mwanaume pekee atakaye weza kuongoza na mwanamke aliyevalia nusu uchi barabarani na sehemu zinazotoa huduma za kijamii
Enyi wanaume mlio kwisha kukosa akili na wenye laana, chukueni neno hili jukumu la mwanaume kwa hawa viumbe ni kutawala, kuongoza ,kutunza na kuamrisha kwa akili na sii kwa mabavu. ila wakileta ujuaji kama mtawala lazima nguvu isiyo na madhara makubwa itumike kuwa weka sawa hawa wanawake nasiyo kuwachekea. Wakatazeni wanawake zenu na mabinti zenu kuvalia nusu uchi, kuepuka hii laana na fedheha , epuka ukosefu wa akili na upumbavu wa kujitakia wakuongozana na mwanamke aliyevaa nusu uchi hawa hawana tofauti na dada poa
Ipo siku vijana watawatongoza na kuwapapasa miili hao wanawake zenu mnaoongozana nao huku wamevalia nusu uchi na hakuna kitu mtafanya sawa sawa na laana na upumbavu wenu mlio nao wanaume zao
View attachment 2887008View attachment 2887009