Umejifunza nini kutoka kwenye Uchaguzi wa Marekani?

Mbona sijaona tume ya uchaguzi ya Marekani ikitangaza matokeo? Mwenyekiti wa hiyo tume ni nani? Naona matokeo yakitangazwa na CNN, Fox News, etc.
Matokeo hutangazwa na vyombo vya habari yakishahesabiwa, kwani kila kitu kinakuwa wazi na mawakala wako kila kituo wanahesabu na kutuma matokeao kwenye center zao za kuhesabia kura.
 
Napata tabu kidogo kumuelewa mtu anae linganisha mambo yanayotokea Marekani na mambo yanayotokea Tanzania hasa yale yanayoshaabiiana kwenye upande wa maendeleo.

Hivi ushawahi kufikiria maendeleo waliyokuwa nayo Marekani wakati wa rais wa tano James Monroe miaka ya 1817-1825. na ukacompare na Tanzainia kipindi cha Rais wa tano mwaka 2016.

Kama kuna mtu ana more details aniambie marekani ilikuwaje katika suala la
1. Viwanda
2. Siasa
3. Huduma za kijamii na hali ya elimu kwa ujumla.
 
Wewe umeona Marekani polisi wakitumika kupiga wapinzani? Umeona polisi wakitii maagizo ya Obama kumbana Trump?
Kwani umesikia wapinzani wanatangaza kwenda kulinda kura, au umemuona Cliton ameita press conferes na kusema kashinda
 
Ushindi wa Rais Mteule wa Marekani Donald Trump lazima utufundishe yafuatayo;
-Kuacha kutumia muda mrefu kumtangaza mshindi, wenzetu ni siku moja tu na wao wako wengi kuliko sisi lakini sisi tunatumia siku tatu.

-Anayependwa na wananchi ndiye atakayechaguliwa na ndiye anapaswa kua mshindi, Donald Trump angekua Tanzania asingeweza kua Rais kwa namna yeyote ile kulingana na michezo yetu michafu ya kisiasa.Leo Lowassa angekua Marekani angekua Rais.

- Umaskini sio sababu ya kumfanya mtu kua mzalendo bali Dhamira ya mtu na taifa lake.

-Watawala wasiwachagulie wananchi Rais bali demokrasia ishike mkondo wake waamue wenyewe.
Technology ya marekani ipo juu sana...huwez linganisha nchi ya kwanza kiuchumi duniani na nchi ya mwisho kiuchumi duniani...inaonesha Lowasa alishawafuck maana kila sku Lowasa Lowasa....
 
 

Attachments

  • 1478689781424.jpg
    1478689781424.jpg
    26.2 KB · Views: 25
System ilimtaka Hillary ila wananch wakamtaka Trump, wananch wamepewa heshima yao sio kama hapa Africa Rais anachaguliwa na System na sii wananch
System na black american ndo ilimtaka trump na sio wananchi....!!! Usibabaishwe na Obama kumkubali yule mama...kumbuka Luna wazee wanaocontrol nchi ya marekani....hao ndo hufanya assessment na kuamua nani aende.....Democrasia ipo home kwako tuu
 
Nampongeza Hillary Clinton, wangekuwa Chadema hivi sasa kauli zingekuwa oooooh! Tumeibiwa kura, oooooh, tunaandamana!!!
 
CHADEMA na CUF na UKAWA walikuwa na tabia za kulia lia marekani.Kitu kidogo tu utasikia tumeongea na wamarekani tumewachongea serikali.Na unasikia muda tu balozi anamwaga tamko lililokaa KI UKAWA zaidi! Uchaguzi uliopita CHADEMA walisaidiwa sana na akina serikali ya Obama NA mama CLINTON ndio maana hata MCC walijitoa kufadhili miradi ya umeme kwa hasira eti kisa uchaguzi wa Zanzibar kwani wao wazanzibari? .Sasa jiandaeni hakuna cha bibi wala babu wa kuwalea lea.Sura za watu weusi kwake anaona kama nuksi

Trump kashika nchi hata balozi wa marekani aliyepo waliyekuwa wakimtegemea CHADEMA na CUF Trump atamfungisha virago anamleta balozi mwingine.Kwa hiyo zile hodi hodi za wanaharakati koko wa Tanzania kupiga hodi kila wakati ubalozi wa marekani mjiandae hazitakuwepo.
 
Back
Top Bottom