simba45 mkali
JF-Expert Member
- Oct 15, 2012
- 1,980
- 1,879
Mzee tupatupa jaribu kuwashauri wenzio wa lumumba kuwa kuna kufa na kuchomwa moto baada ya dhambi ya hapa duniani. Kidhulumu haki na mamuzi ya wazanzibar hyo ni dhambi kubwa uliyowatendea watu wa mungu.Uko sahihi, CCM tunapaswa kusoma alama za nyakati!
Mzee Tupatupa
kwa mujibu wa vitabu vya mungu vinasema sauti ya watu wengi ndio sauti ya mungu. Akaenda zaidi akasema panapokuwa na mkusanyiko wa watu wengi nae yupo pamoja nao.
Sasa kwa dhambi mliyoitenda kwa huko zanzibar kwa kugeuza sauti ya mungu itawatafuna mapaka kwenye viunga vya lumumba.