Dogo, una mwanamke?Sasa elfu 5 ndo umdai mwanamke??? Nyie kweli mnatafuta maishaaa
dogo ana mke..!!Dogo, una mwanamke?
umeoa?dogo ana mke..!!
Well saidNimejifunza kuwa mwanzo wa msoto watu wanakuwa wakikuonea huruma na kukusaidia na kukutia moyo ila mda unapozidi kwenda wana kusahau na kukukwepa
Hata ugonjwa hivyo hivyoNimejifunza kuwa mwanzo wa msoto watu wanakuwa wakikuonea huruma na kukusaidia na kukutia moyo ila mda unapozidi kwenda wana kusahau na kukukwepa
"Kutoa". Sijakuelewa hili neno.K
Kwenye kutoa ndo heshima ya mwanaume ipo hapo.
Soma comments ameelezea"Kutoa". Sijakuelewa hili neno.
Ukianguka kiuchumi ndo utajua ulikua na ndugu au na mafisi, marafik au mashetani, mke au malaya, then after hapo sasa utamtafuta Mungu na utatubu kisha atakurudisha sehemu ulipokua mwanzo, ACHA MUNGU AITWE MUNGU........Habari za muda huu wapendwa.
Maisha ni safari ndefu sana yenye milima na mabonde.
Kuna nyakati unapitia Raha mpaka unajiona hapa duniani upo peke yako.
Kuna nyakati unapitia msoto mkali mpaka unajuta kuzaliwa, lakini kila nyakati tunazopitia kwenye maisha zinabeba ujumbe na mafunzo ambayo unaweza kunufaika kwayo siku za mbeleni.
Si vibaya kama uta share baadhi matukio ya nyakati hizo zilizokufanya ujifunze mambo mengine ya msingi.
NB;
Mimi binafsi nilipofukuzwa na kazi na kuishi maisha ya dhiki ndio nilijifunza kuwa thamani ya mwanamume kwenye jamii, ndoa au hata familia ipo kwenye kutoa.
Nimejifunza kuwa unapopita kipindi kigumu kwanza jua kuwa hayo ni mapito tu na sio makazi ya kudumu. Pili usitetereke na kujikuta unafanya mambo ya kujidhalilisha au kuharibu malengo yako ya awali. Tatu nimejua kuwa mapito magumu ni majaribu na kuna faida endapo utayashinda utakuwa bora zaidi kuliko hapo mwanzo. Na nne mapito ni sehemu muhimu kabisa ya maisha kama ilivyo furaha na mafanikio.Habari za muda huu wapendwa.
Maisha ni safari ndefu sana yenye milima na mabonde.
Kuna nyakati unapitia Raha mpaka unajiona hapa duniani upo peke yako.
Kuna nyakati unapitia msoto mkali mpaka unajuta kuzaliwa, lakini kila nyakati tunazopitia kwenye maisha zinabeba ujumbe na mafunzo ambayo unaweza kunufaika kwayo siku za mbeleni.
Si vibaya kama uta share baadhi matukio ya nyakati hizo zilizokufanya ujifunze mambo mengine ya msingi.
NB;
Mimi binafsi nilipofukuzwa na kazi na kuishi maisha ya dhiki ndio nilijifunza kuwa thamani ya mwanamume kwenye jamii, ndoa au hata familia ipo kwenye kutoa.