Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,224
- 12,944
Solid State Driver (SSD) Ndo suluhisho la uzito wa Computer yako! Simple tu Unatoa Hard Disk unaweka SATA SSD ata kama machine yako ina Ram GB2 lakini ukiwa na SSD Computer yako itakuwa nyepesi kuliko mwenye Computer yenye RAM 8 alafu inatumia HARD DRIVE yakawaida.
Sio bei kubwa mdau wangu, ni Tsh 80 elfu kwa GB 256.
KARIBUNI SANA.
+255622901670