Umbwe Secondary yafungwa sababu za udini

Status
Not open for further replies.

Pdraze

JF-Expert Member
Sep 15, 2011
615
322
Kuna mdogo wangu anasoma hiyo shule kanipigia sim akidai shule imefungwa na wameambiwa wataitwa bila mda maalum kutajwa na sababu ikiwa ni mvutano wa kidini kati ya wakristu na waislam! Kwa wale wenye taarifa zaidi tujulishen maana ni hatari kwa Taifa letu!
 
Kuna mdogo wangu anasoma hiyo shule kanipigia sim akidai shule imefungwa na wameambiwa wataitwa bila mda maalum kutajwa na sababu ikiwa ni mvutano wa kidini kati ya wakristu na waislam! Kwa wale wenye taarifa zaidi tujulishen maana ni hatari kwa Taifa letu!

s t reliable source?
 
Walianza kwenye kampeni zao za siasa, wakaweka mizizi ya udini sasa wameelekeza nguvu madarasani na wanafunzi wamefundishika sasa taabu...Kizazi cha Tanzania kinaelekea wapi?
 
Sasa vurugu ya nini wakati shule ina Msikiti na Kanisa
Ila vijana wa Umbwe wanapenda sana migomo, maybe kama wamebadilika siku hizi
 
Ubwe zamani ilikuwa ya kanisa sasa nashangaa wameshdwa ku wa control hao wadini wawatimue shule wakafanyie huko na sio shule
 
Hili ni tatizo la nchi hii! Kizazi hiki kinaendwkeza sana udini. Hata hapa JF watu hawawezi kujadiliana bila kuingiza issue za dini.

Kizazi cha sasa badala ya kutafuta ukweli kuhusu dini wanakaririshwa halafu wanashikiana mapanga kama vile mitume ni baba zao na wanazijua hizo dini vizuri.
 
Walianza kwenye kampeni zao za siasa, wakaweka mizizi ya udini sasa wameelekeza nguvu madarasani na wanafunzi wamefundishika sasa taabu...Kizazi cha Tanzania kinaelekea wapi?

ww umejuaje hayo kabla ya hayajasemwa. nyie ndo mnaoharb hil taifa
 
Tunakwenda wapi?

Haya mambo ya udini hayaisaidii

Mimi namlaumu rais wa nchi hii tu! Yeye ndiye muasisi wa mambo haya. Watu wa dini yake wanafanya fujo kila siku na hatuoni wakikamatwa. Wengine wanafundisha watoto kufanya fujo lakini hawchukuliwi hatua yoyote ile. Wanaachwa kwa amri ya ikulu. Marais waliopita kulikuwa hakuna ujinga huu kabisa!!
 
Du nimepiga 5&6 pale mbona hapakuwa na issue za udini,ile shule ilikuwa ya kanisa na ndani kuna kanisa kubwa tu..
 
umbwe nini tena jamani mbona wakristo na muslims tulikuwa tunaishi vizuri tu na hapo shuleni kuna kanisa na msikiti tatizo liko wapi. jamani acheni vurugu
 
Mimi namlaumu rais wa nchi hii tu! Yeye ndiye muasisi wa mambo haya. Watu wa dini yake wanafanya fujo kila siku na hatuoni wakikamatwa. Wengine wanafundisha watoto kufanya fujo lakini hawchukuliwi hatua yoyote ile. Wanaachwa kwa amri ya ikulu. Marais waliopita kulikuwa hakuna ujinga huu kabisa!!
Samahani mkuu hivi hakuna wanaompa malalamiko yakamfikia? Iwe kwa njia ya wawakilishi au kitu kama hicho?

Naomba msaada hapa, inaelekea wewe uko vizuri
 
CCM wanatuambiaga kila siku CDM ni chama cha Wakristo sasa sumu hiyo imetapakaa mpaka mashuleni soon tutaanza kulipuana as u know sisi wa ile #Dini yetu tukilipua mtu huwa tunapata thawabu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom