maruudaniel
JF-Expert Member
- Dec 19, 2020
- 888
- 1,067
Ndo maana Mabeyo amerudisha kambini kwani Mzee wa Geita Mpooo anarudi.Mkuu moto unawaka soon.
Na Mbowe kaachiwa mapema ili mavuguvugu yasiwe mawili kwa hiyo ukichanganya Machina,Mfumuko wa Bei na swala la Ajira yaani hali sio nzuri kwetu Ccm ni Mwenyenzi Mungu atuvushe salama