Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,082
- 4,263
sawa dada yangu. basi vizuri. Mia
Maumivu bado mia
sawa dada yangu. basi vizuri. Mia
Hellow! jf
Huyu binti nilikuwa nawasiliana nae kwanza kwa pm. hadi tukapanga nae niende kumtembelea zanzibar. Jmos iloisha nikafunga safari hadi bandalini. Mpango ulikuwa ni kwenda nilale huko. Nikampigia simu ya kwamba napanda boti ya saa nane na akaahidi kuja kunipokea bandali ya zenj, Cha ajabu nilipofika zenji na kumpigia simu akanijibu "HIVI UMEENDA KWELI? MWENZIO NAKAA ARUSHA. YALE NI MAMBO YA JF BANA FIGGANIGGA, MI NKAJUA WANTANIA ATI!. POLE SANA".Akamalizia na kicheko!. Nimfanyeje huyu jaman?. Mia
hadi sasa hivi maumivu bado. nina mpango wa kutafuta asie muongo. cha ajabu sasa hivi hata jf haonekani. miaMaumivu bado mia
hamna kitu. kaingia mitini mi mwenyewe nmechoka naye. miaVp bado mna-pm one another???!!!!!!pole
nitake radhi mkuu. miamtoa mada anaonekana bado katoto sana ,mpaka upevuke baadae sana
hadi sasa hivi maumivu bado. nina mpango wa kutafuta asie muongo. cha ajabu sasa hivi hata jf haonekani. mia