ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,650
mie nlishawahi kudanganywa eti anakaa mabibo kumbe yuko hall 7, na wakati naenda panda gari pale bondeni toka hall 6, ye akawa anancheki kwenye madirisha ya hall 7. Ila mwishowe 'nilifanikiwa'. we usikate tamaa endelea kumfuatilia huyo utampata kwani kisha ona uko serious, atakuonea huruma, kazana mtoto wa kiume!