K Kifulambute JF-Expert Member May 8, 2011 2,539 755 Aug 27, 2012 #83 hahhahahahahahahhhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa wenye kilo za kipepeo hao
Ndallo JF-Expert Member Oct 1, 2010 7,619 4,292 Aug 27, 2012 Thread starter #88 Pindima said: Sijaelewa!! Click to expand... Hujaelewa nini??
sweetlady JF-Expert Member Dec 24, 2010 16,947 8,409 Aug 27, 2012 #90 Hahahhahaha lol.....aisee! Mwenzao mwepesi kama karatasi lol!
MadameX JF-Expert Member Dec 27, 2009 7,792 3,848 Aug 27, 2012 #91 Duuh hata physics ya kubalance hawaijui
BHULULU JF-Expert Member Jun 28, 2012 4,988 2,012 Aug 27, 2012 #92 Kuna haja ya kulala na mawe mfukoni ili kuongeza uzito
N Ndinani JF-Expert Member Aug 29, 2010 6,938 3,825 Aug 27, 2012 #93 Jamaa mwepesi kweli ni lazima ilikuwa mwezi wa Ramadhani; shauri ya kufunga kilo zimepungua!!
Ndallo JF-Expert Member Oct 1, 2010 7,619 4,292 Aug 27, 2012 Thread starter #97 Makindi N said: Hahahahahaaaaaa! Nimecheka sana! Click to expand... Nawapenda sana waJF wenzangu ndio maana haipiti siku bila kuwapa vimbwanga ili mcheke ili muongeze umri na mnenepe!
Makindi N said: Hahahahahaaaaaa! Nimecheka sana! Click to expand... Nawapenda sana waJF wenzangu ndio maana haipiti siku bila kuwapa vimbwanga ili mcheke ili muongeze umri na mnenepe!