Ulitumaini uzuri wako ukafanya ukahaba.... kila kijana aliyepita ulimwona anafaa
awe mzuri na sura mbaya ulifunua marinda.....weweeee
wako wapi wapenzi wako mbona sasa unakonda ......wako waapi ma handsome mbona sasa unakonda.......
hebu sasa piga kelele ulie kahaba....shika kinubi omboleza upate kukumbukwa................nirudieni mimi...nasamehe nasema geukeni sasa niwaponye
:horn:
awe mzuri na sura mbaya ulifunua marinda.....weweeee
wako wapi wapenzi wako mbona sasa unakonda ......wako waapi ma handsome mbona sasa unakonda.......
hebu sasa piga kelele ulie kahaba....shika kinubi omboleza upate kukumbukwa................nirudieni mimi...nasamehe nasema geukeni sasa niwaponye
:horn: