.Habari ya Easter monday?
Kama mmeamka salama ni furaha kwangu, tujuzane tu namna tulivyosherehekea siku ya jana maana sikukuu huwa haziishi matukio ya kuacha midomo wazi
Wengine tuliachwa SOLEMBA.
Source: Katavi
.Habari ya Easter monday?
Kama mmeamka salama ni furaha kwangu, tujuzane tu namna tulivyosherehekea siku ya jana maana sikukuu huwa haziishi matukio ya kuacha midomo wazi
Hahahahahaa nimeipenda hiyo asee naicopy kama ilivyo bila kupunguza wala kuongeza neno
Dah sa hapo umefanya nini mkuu, si bora ungeruka na hako ka demu ka zamani kuliko hako ka kuku ulikokabeba huko Dar Live? Kwa formula kwamba zimwi likujualo halikuli likakwishaNılıangalıa mechı home!kakaja ademu kangu ka zamanı nıkazıba,kakasepa then nıkaelekea mbagala dar lıve kula bata!huko nako nıkakuta kuku za kıenyejı za ukwelı nıkaımbısha moja!ndo ımetoka muda huu home!nımeıtoa na wekundu wawılı
Habari ya Easter monday?
Kama mmeamka salama ni furaha kwangu, tujuzane tu namna tulivyosherehekea siku ya jana maana sikukuu huwa haziishi matukio ya kuacha midomo wazi
Ile ilianza kabla ya pasaka so jana haikuwa ndio inaanza ilikuwa kwenye pipeline tayari...........Ukiona vidole haviwezi unatafuta msumenomh! wewe si ndio ulisherehekea pasaka kwa kujaribu kuuvunjavunja moyo wa mtu fulani?! angalia waweza kuwa unajaribu kuvunja nondo kwa kutumia vidole!
shem...ulikua bwax kiasi hicho?...hap ista anyways!...
Ile ilianza kabla ya pasaka so jana haikuwa ndio inaanza ilikuwa kwenye pipeline tayari...........Ukiona vidole haviwezi unatafuta msumeno
Dogo mzima?
Hahahaaaa kuna sikukuu kibao tu zaja, kuna Eid El Fitr na El Hadhr kabla ya zile za anniversary so kuna sehemu kibao tu ya kuitumia hiyo
Chuma chochote kile kinaweza katwa, kukunjwa au kuyeyushwa ni kujua tu utumie solution gani