Mh thats interesting, mi yangu ilianzia kanisani asubuhi nikaimba haleluya kuu nikapaa mbinguni nimerudi mchana duniani kula pilau then nikawatch moviez na siku ikaishaKama wewe ni mtu wa matukio ya kuacha mdomo wazi maisha yako tu hata kama sio sikukuu inakuwa hivyo tu. Kama ni mtu wa amani bila matukio unakuwa unajua ukae wapi na nani ili uwe na furaha na amani.
Pasaka yangu ni nzuri, ya amani. Kristo amefufua kila kilichokuwa mfu maishani mwangu. Pasaka yako inakaaje Musimo?
Hahahahahaaaa mkuu ulizima nini?Well mi nipo mbali na familia yangu mbali na my wife to be so jana nimekesha bar kwenye live band mpaka saa tisa usiku.kuna kamalaya kalikuwa kamekaa na mimi meza mmoja kakasepa na kuniachia bili yake ya bia tatu,stupid *****
Kuna nusu kuku hapa nilidhan jana hawakunifungia kumbe nilirudi naye ngoja nimtafune kwanza i will be back hope mpaka hapo unapata picha pasaka yangu ilikuaje!
Hahahahahaaa yaani amini usiamini nimeshatengeneza movie kamili kutokana na kichwa cha habari hapo juu, dah natamani star wake angekuwa KanumbaKuna nusu kuku hapa nilidhan jana hawakunifungia kumbe nilirudi naye ngoja nimtafune kwanza i will be back hope mpaka hapo unapata picha pasaka yangu ilikuaje!
Kuna nusu kuku hapa nilidhan jana hawakunifungia kumbe nilirudi naye ngoja nimtafune kwanza i will be back hope mpaka hapo unapata picha pasaka yangu ilikuaje!
shem...ulikua bwax kiasi hicho?...hap ista anyways!...
Hahahahahaaa yaani amini usiamini nimeshatengeneza movie kamili kutokana na kichwa cha habari hapo juu, dah natamani star wake angekuwa Kanumba
Hivi ule mfungo wa kulewa nilidhani unaisha leo? Ntamuambia dingi,ohoo!
Mtafuteni asije kuwa kwa kale kabinti kakamchakachua asee