Mabusu
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 781
- 1,008
Alifaidika na nini sasa? Kwani mwanamke yuko peke yake? Sijapenda kabisa kukatisha uhai wa mwenzakeTulikia mradi wa bararaba Njombe-makete. Jamaa akamfumania mfanyakazi mwenzetu na demu wake (alizaa nae uyo demu), mida ya saa mbili tuu aisee jamaa alimkatakata mapanga vibaya mno, mixer izo za kutoboa macho..
Kesho tunaenda site tunakuta maiti pembeni ya barabara ikiwa uchi huku haitamaniki.
Kutembea na mke wa mtu ni nusu ya kifo