Wakuperuzi
JF-Expert Member
- Mar 31, 2023
- 2,090
- 4,704
Nishawajua si wamiliki wa mabasi ya kapuniIlitokea Shinyanga jamaa kaonywa huyo ni mke wa mtu achana nae...hakutaka kusikia...siku ya siku kafumaniwa...wakamrekodi mkanda wa video enzi hizo...huku akiingiliwa kinyume na maumbile na akiamriwa kukata kiuno....Kisha ile kanda akapelekewa baba yake mzazi....baba kuiona tu...akaanguka chini...na kupoteza maisha......walikuwa ni wa miliki wa mabasi fulani jina......kapuni.