G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,555
- 35,884
Sina nia ya kukutisha ila kukuekeza ukweli kuwa ulikula malaya tena wale malaya haswaaa. Mengine tuachie mwili utayasema mwenyeweHappy new year wazee wa uzinzi.
Juzi mkesha wa mwaka mpya kulikuwa na birthday party ya dada jirani yake na jamaa tunaefanya kazi sehemu moja.
Deep down nimetosa sana kuhudhuria masherehe nafikiri ndo nilivyo tu wala sina sababu ya kutokwenda.
sherehe ilianza mida ya kama saa 4 usiku hivi na kutoka kwa jamaa mpaka nnapoishi sio mbali ni chap tu unafika.
Kimasihara.
Nikiwa nimekaa kwenye kochi moja pekeangu walitokea wadada wawili ambao nao ni waalikwa mmoja akaja kukaa pale nilipokuwa nimekaa mwingine akaenda sehemu nyingine.
Alipofika akasalimia nikaitikia with no more story maana sio muongeaji sana kwa mtu yeyote tukionana mara ya kwanza. Kwa sababu mimi sio mhudhuriaji mzuri wa sherehe nikaona tumepewa karatasi zimeandikwa namba then baadae unaulizwa swali ukishndwa kujibu unapewa adhabu.
Namba zetu zilifuatana nilianza mimi nikafeli nayeye pia akafeli ndo aliporudi akasema "yaani birthday girl nisamehewe tu maana me bado mdogo" akiwa na maana yeye pia ana birthday that day.
NIlpojua ana bday, nkamuuliza ana miaka mingapi akajibu 23 nikamwambia tunda limeiva tayari kwa matumizi ya taifa, akacheeka akasema mama yangu kasema me bado mdogo nisijeharibiwa na walimwengu.
nkamwambia basi ngoja niutangazie umma hapa kuwa unabirthday kama vipi tukupige maji na hii baridi, mtoto akakataa akasema atanipa keki na chochote ila nisimtangaze kama ana bday.
Nkamwambia haya poa sitakutangaza, sherehe ikaendelea mpaka mida ya saa 7 hivi nikamwambia newborn haiwezekani tukutane halafu nsikumwagie maji kama vipi twende kwangu nkakumwagie chupa moja tu mikononi na miguuni tu. Akakubali kwa masharti nisijemwagia mwili mzima nkamwambia nakuahidi me siwezi kuharibu ahadi yangu.
Tukatoka mpaka ghetto kwangu kufika nkampeleka bafuni nkajidai namwagia maji mkononi then kichwani(hakuwa amesuka) akasema nimeharbu promise na baridi ni kali. Nikamsogeza nkamkumbatia na kumwambia apate joto, si ndo manzi katuliaa tu, mikono ikafanya kazi yake manzi kalainika na anangozi inateleza sana. Nikamsogeza bed pale shusha kile kijeans chake na nkamuwashia moto,mwanzoni kalikuwa kama hakapo tayari sa sijui ilikuwaje kakatoa ushirikiano wa kutosha na style zangu pendwa nikapewa hehehehehe.
kakalala hapohapo asubuhi kananiuliza et imewezekanaje mpaka tukafika huku, nkakaambia me sijui. akajiandaa akasepa though namba alinipa ila sijamcheki tena.
Mwaka mpya muache uzinzi.